Monday 13 October 2014

WAJIBIKA PROJECT WAKABIDHI VIFAA VYA MAZINGIRA KATIKA SHULE YA NZONDAHAKI, CLUB 2


mwanaclub akikabidhiwa vifaa kwa ajili ya mazingira
katibu wa YWCA akimkabidhi bango la ujumbe mwanafunzi wa CLUB 2
                                                        viongozi wa serikali ya wanafunzi

                          mwalimu na msimamizi wa Club ya mazingira shuleni nzondahaki

                               mwalimu na msimamizi wa club ya mazingira

                          WAJIBIKA PROJECT MBEYA ,ikikabibhi vifaaa kwa ajili ya mazingira


                      kitalu kilichooneshwa kwa ajili ya upandaji miti

Saturday 4 October 2014

WAJIBIKA PROJECT YAKABIDHI VIFAA KWA CLUB YA MAZINGIRA KATIKA SHULE YA MSINGI MAPINDUZI


WAJIBIKA PROJECT ni mradi unaosimamiwa na YWCA TANZANIA kwa ufadhili wa YGLOBAL KFUK KFUM ya NORWAY ,ambapo katika mkoa wa Mbeya unasimamiwa na taasisi ya YOUNG WOMENS CHRISTIAN ASSOCIATION MBEYA kwa kifupi ikitambulika kama YWCA MBEYA  kwa usimamizi wa program officer wa mradi huu DEBORAH NJULUMI

Katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira imefunguliwa Club ya mazingira katika shule ya msingi mapinduzi jijini Mbeya, ambapo hatua ya kwanza ilikuwa wanaclub kupatiwa mafunzo na sasa wamekabidhiwa vifaa mbalimbali watakavyo tumia katika utunzaji wa mazingira

Baadhi ya matukio ya picha katika makabidhiano ya vifaa
                           Wanaclub wakiwa wameshika ujumbe mbalimbali
                                Project officer na Katibu wa club ya mazingira mapinduzi
                              Wakielezea mahitaji wanayohitaji na changamoto wanazozipata
              
         Katibu akipokea vifaa kwa program officer wa mradi DEBORA NJULUMI
                                     LINDA MAZINGIRA, OKOA DUNIA

                                 SAIDIA KUYATUNZA MAZINGIRA
          AHSANTENI KWA WOTE MNAOONESHA USHIRIKIANO KUFANIKISHA KAZI ZETU