WAJIBIKA PROJECT ni mradi unaosimamiwa na YWCA TANZANIA kwa ufadhili wa
YGLOBAL KFUK KFUM ya NORWAY ,ambapo katika mkoa wa Mbeya unasimamiwa na
taasisi ya YOUNG WOMENS CHRISTIAN ASSOCIATION MBEYA kwa kifupi
ikitambulika kama YWCA MBEYA kwa usimamizi wa program officer wa mradi
huu DEBORAH NJULUMI
Katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira imefunguliwa Club ya mazingira
katika shule ya msingi mapinduzi jijini Mbeya, ambapo hatua ya kwanza
ilikuwa wanaclub kupatiwa mafunzo na sasa wamekabidhiwa vifaa mbalimbali
watakavyo tumia katika utunzaji wa mazingira
Baadhi ya matukio ya picha katika makabidhiano ya vifaa
Wanaclub wakiwa wameshika ujumbe mbalimbali
Project officer na Katibu wa club ya mazingira mapinduzi
Wakielezea mahitaji wanayohitaji na changamoto wanazozipata
Katibu akipokea vifaa kwa program officer wa mradi DEBORA NJULUMI
LINDA MAZINGIRA, OKOA DUNIA
SAIDIA KUYATUNZA MAZINGIRA
AHSANTENI KWA WOTE MNAOONESHA USHIRIKIANO KUFANIKISHA KAZI ZETU