Friday 19 December 2014

MAFUNZO YA UFUATILIAJI WA RASILIMALI ZA UMMA, KWA VIJANA MKOANI MBEYA

WAJIBIKA PROJECT MBEYA, huu ni mradi unaofanya kazi na YWCA MBEYA kwa usimamizi wa YWCA TANZANIA, kwa siku tatu za tunaendesha mafunzo ya UFUATILIAJI WA RASILIMALI ZA UMMA, ambayo yanahusisha vijana kutoka maeneo tofauti ya mkoa wa Mbeya
maeneo ya IFIGA, UYOLE, ITENDE, NSALAGA, na ILOMBA,

Ambao kwa pamoja wataweza kujua namna ya kufanya ufuatiliaji wa rasilimali za umma, na kuwa msaada katika jamii zao
                                              Darasa la mafunzo wakisikiliza
                         Lawrence Chuma,kutoka Dar es salaam akitoka mafunzo