Tuesday 11 November 2014

HIVI NDIVYO TULIVYOFANYA TUKIO LA MAZINGIRA JIJI LA MBEYA

YWCA WAJIBIKA PROJECT MBEYA, huu ni mradi unaosimami na YWCA TANZANIA kwa kwa ufadhili wa KFUK KFUM YA NORWARY ambao kwa pamoja katika mkoa wa Mbeya unasimamiwa na YWCA MBEYA ukiwa unatekeleza mambo makuu manne ambayo ni utoaji elimu ya VICOBA(village community bank) na pia UJASIRIAMALI, MAZINGIRA, PETS(public expenduture trucking system)

katika kufanya tukio la kimazingira tumeweza kuungana na vijana wa jiji la MBEYA katika
UPANDAJI MITI
UPAKAJI RANGI
ELIMU YA MAZINGIRA
MICHEZO KUHAMASISHA MAZINGIRA

Tukio la upakaji wa rangi lilifanyika katika shule ya mapinduzi ambapo na upandaji miti ukafanyika, ndipo vijana wakatembelea ofisi zetu YWCA MBEYA.

Baada ya kumaliza katika ofisi ya YWCA vijana tukaelekea viwanja vya shule ya msingi Nzovwe kupanda miti katika shule ya JITEGEMEE na NZOVWE,ndipo tukio zima la utoaji elimu na kushiriki michezo mbalimbali ikaanza

JIONEEE MATUKIO YA KUTOSHA YA VIJANA WA JIJI LA MBEYA NA MRADI WA WAJIBIKA MBEYA




     Elly Bonke, Eliud Samweli, Isah Nyambeke, pamoja na Brown wakikusanya miti bustani
                            CLIMATE JUSTICE, STOP POVERTY
                                        wotee tukishirikiana tunaweza kubadilisha dunia
   Ezekia akifundisha wengine namna ya kupaka rangi madirishani yaani ilikuwa kufundishana tuu
 Unaona hapa tutapaka kwa dakika 30, tunaelekea viwanjani, umeonaeeee
                               Tutajua tuu kupaka rangi kwa ajili ya jamii yetu
          Wakina mama nao walikuwa pamoja kufanikisha shughuli nzima hiii
                                    Vijana kutoka dogodogo arts group wakiwa kazini
                Project officer wa mradi wa WAJIBIKA PROJECT MBEYA akipaka rangi
                    Tukamaliza mapinduzi ikaanza safari ya kwenda viwanja vya nzovwe
                                          afisa mazingira wa JIJI la Mbeya akitoa elimu kwa wananchi
 Mkurugenzi wa T-MOTIONS akitoa maelekezo namna vijana wanavyoweza kutumia fursa





Team ya kwanza ikawepo BOMBA FM na Team ya pili ROCK FM kuzungumzia masuala ya mazingira kiujumla katika jamiii
                                            Jengo la shule baada ya kupakwa rangi likionekana vyema

                         Afisa afya akipanda mti katika shule ya JITEGEMEE
                    Project office akipanda mti kwa kuhamasisha utunzaji mazingira