Monday 15 September 2014

YWCA- WAJIBIKA CLUB 2, YAFUNGULIWA SEKONDARI YA NZONDAHAKI JIJI MBEYA

WAJIBIKA PROJECT MBEYA:  yafanya ufunguzi wa club ya mazingira katika shule ya sekondari Nzondahaki ambapo wanafunzi wakiongozana na mwalimu wao wa mazingira, walienda kutembelea bustani ya jiji  ya Mbeya, Ambapo walijifunza namna ya upandaji na utunzaji wa mazingira,wakiongozwa na programu officer wa mradi wa wajibika DEBORAH NJULUMI ,pamoja na katibu mama TABITHA BUGHALI,

Na waliwezwa kufundishwa kwa  undani na mkufunzi wa masuala ya mazingira ndugu OMARY MGALLA

                        Haya ndiyo matukio katika ziara ya kujifunza kwa vitendo wanafunzi hawa

                                             WAJIBIKA CLUB 2
                                            Wanaclub wakizidi kujifunza kwa vitendo




No comments:

Post a Comment