WAJIBIKA PROJECT MBEYA: yafanya ufunguzi wa club ya mazingira katika shule ya sekondari Nzondahaki ambapo wanafunzi wakiongozana na mwalimu wao wa mazingira, walienda kutembelea bustani ya jiji ya Mbeya, Ambapo walijifunza namna ya upandaji na utunzaji wa mazingira,wakiongozwa na programu officer wa mradi wa wajibika DEBORAH NJULUMI ,pamoja na katibu mama TABITHA BUGHALI,
Na waliwezwa kufundishwa kwa undani na mkufunzi wa masuala ya mazingira ndugu OMARY MGALLA
Haya ndiyo matukio katika ziara ya kujifunza kwa vitendo wanafunzi hawa
WAJIBIKA CLUB 2
Wanaclub wakizidi kujifunza kwa vitendo
No comments:
Post a Comment