WAJIBIKA CLUB 1,hili ndilo jina la club katika shule ya msingi mapinduzi iliyo katika jiji la mbeya ambapo mradi wa wajibika utakuwa ukifanya kazi hapo shuleni
wanaclub ya mazingira wakijadiri mambo mbalimbali
mwandishi wa habari na mkufunzi wa mazingira FESTO SIKAGONAMO akisisitiza jambo
walimu na wanafunzi wote katika kujifunza kufahamu kuhusiana na MAZINGIRA,
viongozi wa WAJIBIKA CLUB 1
DEBORA NJULUMI(program officer) akiwa na wanachama wa club
shughuli ndiyo kwanza imeanza vijana wana moyo wa kujitolea na kufanya kazi, mazingira ni yetu sote
No comments:
Post a Comment