Tuesday 2 September 2014

WAJIBIKA ENVIRONMENT CLUB 1,YAFUNGULIWA MBEYA KATIKA SHULE YA MAPINDUZI

WAJIBIKA mpango huu unajulikana kama harakati za vijana katika uwajibikaji kiuchumi na kimazingira ili kuleta maendeleo endelevu, mradi huu unaosimamiwa na YWCA TANZANIA,YWCA MBEYA kwa ufadhili wa Y GLOBAL KFUK ambao umelenga katika humasisha vijana kuwa na uthubutu katika mambo mbalimbali,
WAJIBIKA CLUB 1,hili ndilo jina la club katika shule ya msingi mapinduzi iliyo katika jiji la mbeya ambapo mradi wa wajibika utakuwa ukifanya kazi hapo shuleni
                                             mwalimu wa shule akifungua mafunzo katika CLUB


                                       wanaclub ya mazingira wakijadiri mambo mbalimbali

mwandishi wa habari na mkufunzi wa mazingira FESTO SIKAGONAMO akisisitiza jambo



                        walimu na wanafunzi wote katika kujifunza kufahamu kuhusiana na MAZINGIRA,
                                                viongozi wa WAJIBIKA CLUB 1
                        DEBORA NJULUMI(program officer) akiwa na wanachama wa club
shughuli ndiyo kwanza imeanza vijana wana moyo wa kujitolea na kufanya kazi, mazingira ni yetu sote

No comments:

Post a Comment